ZIARA YA WAGENI KUTOKA NCHINI MAREKANI KUTEMBELEA KIKUNDI CHA KIMAMA KIHESA IRINGA
Mhasibu wa kimama Group Bw. Clayson Kinyaga wa tatu kutoka kushoto akiwa na wageni waalikwa waliotoka Nchini Marekani katika kanisa la Lutheran Nduli kwa ajili ya zoezi la upandaji wa miti
hongereni sana kimama group kwa program yenu ya uhifadhi mazingira kwa njia ya usambazaji na upandaji miti..................kwa kufanya hivi tutaurudisha uumbaji wa Mungu ambao kwa njia mbalimbali tumeuharibu kwa kupoteza asili yake,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
hongereni sana kimama group kwa program yenu ya uhifadhi mazingira kwa njia ya usambazaji na upandaji miti..................kwa kufanya hivi tutaurudisha
ReplyDeleteuumbaji wa Mungu ambao kwa njia mbalimbali tumeuharibu kwa kupoteza asili yake,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,